IJUE SABABU YA FURAHA KATIKA MAISHA YAKO.

FURAHA YA MAISHA YAKO IKO MIKONONI MWAKO.

Katika maisha yako mtu pekee wakukufanya uwe mtu wa furaha ni wewe mwenyewe. Hivyo usisubiri furaha yako itokane na mtu au watu wengine ukifanya hivyo utakua mtu wa huzuni na kulia dakika zote.
Wekeza katika maisha yako mwenyewe , jiamini kuwa unaweza kufanya vyema kuliko mtu mwingine yeyote.

Comments

  1. For sure a change is made by an individual as himself or herself

    ReplyDelete
  2. Ooops O.M.G brow u said
    And I got it
    Bless

    ReplyDelete
  3. Your real tryin keep it up....

    ReplyDelete
  4. It's matter of self awareness ......we do believe in dreams but let's start doing not wishing 💪

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

JINSI YA KUZUIA MIMBA ZISIZOTARAJIWA